54 Kwa hiyo, mwili huu wa kuharibika utakapovaa kutokuharibika, nao huu mwili wa kufa utakapovaa kutokufa, ndipo lile neno lililoandikwa litakapotimia: "Mauti imemezwa kwa kushinda."
55 "Kuko wapi, ee mauti, kushinda kwako?
Uko wapi, ee mauti, uchungu wako?"