55 "Kuko wapi, ee mauti, kushinda kwako?
Uko wapi, ee mauti, uchungu wako?"
56 Uchungu wa mauti ni dhambi na nguvu ya dhambi ni sheria. 57 Lakini Mungu apewe shukrani, yeye atupaye ushindi kupitia kwa Bwana wetu Isa Al-Masihi.
55 "Kuko wapi, ee mauti, kushinda kwako?
Uko wapi, ee mauti, uchungu wako?"
56 Uchungu wa mauti ni dhambi na nguvu ya dhambi ni sheria. 57 Lakini Mungu apewe shukrani, yeye atupaye ushindi kupitia kwa Bwana wetu Isa Al-Masihi.