9 Lakini ni kama ilivyoandikwa:
"Hakuna jicho limepata kuona,
wala sikio limepata kusikia,
wala hayakuingia moyoni mwa mwanadamu yeyote,
mambo ambayo Mungu amewaandalia
wale wanaompenda":
9 Lakini ni kama ilivyoandikwa:
"Hakuna jicho limepata kuona,
wala sikio limepata kusikia,
wala hayakuingia moyoni mwa mwanadamu yeyote,
mambo ambayo Mungu amewaandalia
wale wanaompenda":