Pular para o conteúdo
Publicidade

1 Coríntios 6

15 Je, hamjui kwamba miili yenu ni viungo vya Al-Masihi mwenyewe? Je, nichukue viungo vya mwili wa Al-Masihi na kuviunganisha na mwili wa kahaba? La hasha! 16 Hamjui kwamba aliyeungwa na kahaba anakuwa mwili mmoja naye? Kwa kuwa imenenwa, "Hao wawili watakuwa mwili mmoja." 17 Lakini mtu aliyeungwa na Bwana Isa anakuwa roho moja naye.

Veja também