Ilya atangaza ukame
1 Basi Ilya Mtishbi, kutoka Tishbi katika Gileadi, akamwambia Ahabu, "Kama Mwenyezi Mungu, Mungu wa Israeli ninayemtumikia, aishivyo, hapatakuwa na umande wala mvua katika miaka kadhaa ijayo, isipokuwa kwa neno langu."
1 Basi Ilya Mtishbi, kutoka Tishbi katika Gileadi, akamwambia Ahabu, "Kama Mwenyezi Mungu, Mungu wa Israeli ninayemtumikia, aishivyo, hapatakuwa na umande wala mvua katika miaka kadhaa ijayo, isipokuwa kwa neno langu."