Pular para o conteúdo
Publicidade

1 Wafalme 19

12 Baada ya tetemeko la ardhi moto ukaja, lakini Mwenyezi Mungu hakuwamo katika ule moto. Baada ya moto ikaja sauti ya utulivu ya kunong’ona. 13 Ilya alipoisikia, akafunika uso kwa vazi lake, akatoka na kusimama kwenye mlango wa pango.

Kisha ile sauti ikamwambia, "Ilya, unafanya nini hapa?"

Veja também