5 Kisha akajinyoosha chini ya mti, akalala usingizi.
Mara malaika akamgusa na kumwambia, "Inuka ule." 6 Akatazama pande zote, na hapo karibu na kichwa chake palikuwa na mkate uliookwa kwenye makaa ya moto, na gudulia la maji. Akala na kunywa, kisha akajinyoosha tena.