Pular para o conteúdo
Publicidade

1 Samuel 15

22 Lakini Samweli akajibu:

"Je, Mwenyezi Mungu anafurahia sadaka za kuteketezwa na dhabihu

kama vile kuitii sauti ya Mwenyezi Mungu?

Kutii ni bora kuliko dhabihu,

nako kusikia ni bora

kuliko mafuta ya kondoo dume.

Veja também