Pular para o conteúdo
Publicidade

1 Samweli 17

45 Daudi akamwambia yule Mfilisti. "Wewe unanijia na upanga, mkuki na fumo, lakini mimi ninakujia kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni, Mungu wa majeshi ya Israeli, ambaye wewe umemtukana.

Veja também