16 Basi Yonathani akafanya agano na nyumba ya Daudi, akisema: "Mwenyezi Mungu na awaangamize adui za Daudi." 17 Naye Yonathani akamtaka Daudi athibitishe tena kiapo chake cha kumpenda, kwa sababu Yonathani alimpenda Daudi kama nafsi yake mwenyewe.
16 Basi Yonathani akafanya agano na nyumba ya Daudi, akisema: "Mwenyezi Mungu na awaangamize adui za Daudi." 17 Naye Yonathani akamtaka Daudi athibitishe tena kiapo chake cha kumpenda, kwa sababu Yonathani alimpenda Daudi kama nafsi yake mwenyewe.