16 Bila shaka yoyote, siri ya utauwa ni kubwa:
Alidhihirishwa katika mwili,
akathibitishwa kuwa na haki katika Roho wa Mungu,
akaonekana na malaika,
akahubiriwa miongoni mwa mataifa,
akaaminiwa ulimwenguni,
akachukuliwa juu katika utukufu.
16 Bila shaka yoyote, siri ya utauwa ni kubwa:
Alidhihirishwa katika mwili,
akathibitishwa kuwa na haki katika Roho wa Mungu,
akaonekana na malaika,
akahubiriwa miongoni mwa mataifa,
akaaminiwa ulimwenguni,
akachukuliwa juu katika utukufu.