Publicidade

1 Tessalonicenses 5

Kuweni tayari kwa siku ya Bwana

1 Basi ndugu, hatuna haja ya kuwaandikia kuhusu nyakati na majira, 2 kwa kuwa mnajua vyema kwamba siku ya Mwenyezi Mungu itakuja kama mwizi anavyokuja usiku. 3 Watu wanaposema, "Kuna amani na salama," maangamizi huwajia ghafula, kama vile uchungu unavyomjia mwanamke mwenye mimba; nao hakika hawatatoroka.

Veja também

1 Tessalonicenses
Ver todos os capítulos de 1 Tessalonicenses
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-