16 Al-Yasa akamwambia, "Mwaka ujao, wakati kama huu utabeba mwana mikononi mwako."
Yule mama akapinga, akasema, "La hasha, bwana wangu! Usimdanganye mtumishi wako, ee mtu wa Mungu!"
16 Al-Yasa akamwambia, "Mwaka ujao, wakati kama huu utabeba mwana mikononi mwako."
Yule mama akapinga, akasema, "La hasha, bwana wangu! Usimdanganye mtumishi wako, ee mtu wa Mungu!"