13 Shika kwa uthabiti kielelezo cha mafundisho yenye uzima uliyoyasikia kwangu, pamoja na imani na upendo katika Al-Masihi Isa. 14 Ilinde ile amana uliyokabidhiwa kwa Roho wa Mungu akaaye ndani yetu.
13 Shika kwa uthabiti kielelezo cha mafundisho yenye uzima uliyoyasikia kwangu, pamoja na imani na upendo katika Al-Masihi Isa. 14 Ilinde ile amana uliyokabidhiwa kwa Roho wa Mungu akaaye ndani yetu.