Pular para o conteúdo
Publicidade

2 Timóteo 4

3 Maana wakati utakuja watu watakapokataa kuyakubali mafundisho yenye uzima. Badala yake, ili kutimiza tamaa zao wenyewe, watajikusanyia idadi kubwa ya walimu watakaowaambia yale masikio yao yanatamani kusikia. 4 Watakataa kusikiliza kweli na kuzigeukia hadithi za uongo.

Veja também

2 Timóteo
Ver todos os capítulos de 2 Timóteo