Pular para o conteúdo
Publicidade

Ufunuo 7

16 Kamwe hawataona njaa

wala kiu tena.

Jua halitawachoma

wala joto lolote liunguzalo.

17 Kwa maana Mwana-Kondoo

aliyeko katikati ya kile kiti cha enzi

atakuwa Mchungaji wao;

naye atawaongoza kwenda

kwenye chemchemi za maji yaliyo hai.

Naye Mungu atawafuta machozi

kutoka machoni mwao."

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também