Publicidade

Apocalipse 7

16 Kamwe hawataona njaa

wala kiu tena.

Jua halitawachoma

wala joto lolote liunguzalo.

17 Kwa maana Mwana-Kondoo

aliyeko katikati ya kile kiti cha enzi

atakuwa Mchungaji wao;

naye atawaongoza kwenda

kwenye chemchemi za maji yaliyo hai.

Naye Mungu atawafuta machozi

kutoka machoni mwao."

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-