13 Walipowasili mjini Yerusalemu, walienda ghorofani kwenye chumba walichokuwa wakiishi. Waliokuwepo walikuwa:
Petro, Yohana, Yakobo na Andrea;
Filipo na Tomaso;
Bartholomayo na Mathayo,
Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni Zelote1:13 Wazelote walikuwa kikundi cha Kiyahudi wenye imani kali waliompinga Kaisari na utawala wa Rumi. na Yuda mwana wa Yakobo.