Pular para o conteúdo
Publicidade

Matendo Ya Mitume 1

13 Walipowasili mjini Yerusalemu, walienda ghorofani kwenye chumba walichokuwa wakiishi. Waliokuwepo walikuwa:

Petro, Yohana, Yakobo na Andrea;

Filipo na Tomaso;

Bartholomayo na Mathayo,

Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni Zelote1:13 Wazelote walikuwa kikundi cha Kiyahudi wenye imani kali waliompinga Kaisari na utawala wa Rumi. na Yuda mwana wa Yakobo.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também