4 Kornelio akamkazia macho kwa hofu akasema, "Kuna nini, Bwana?"
Malaika akamwambia, "Sala zako na sadaka zako kwa maskini zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu.
4 Kornelio akamkazia macho kwa hofu akasema, "Kuna nini, Bwana?"
Malaika akamwambia, "Sala zako na sadaka zako kwa maskini zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu.