Pular para o conteúdo
Publicidade

Atos 19

Wana wa Skewa wajaribu kutoa pepo mchafu

11 Mungu akafanya miujiza mingi isiyo ya kawaida kupitia kwa Paulo, 12 hivi kwamba leso au vitambaa vilivyokuwa vimegusa mwili wa Paulo viliwekwa juu ya wagonjwa, nao wakapona magonjwa yao, na pepo wachafu wakawatoka.

Veja também