Publicidade

Resultados da busca por "esperança"

10 resultados encontrados

1 Coríntios 13 Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
Capítulo 13
Mostrando versículos 7–13 de 13

7Upendo huvumilia yote, huamini yote, hutumaini yote, hustahimili yote.

8Upendo haushindwi kamwe. Lakini ukiwepo unabii, utakoma; zikiwepo lugha, zitakoma; yakiwepo maarifa, yatapita.

13Basi sasa, yanadumu mambo haya matatu: Imani, tumaini na upendo. Lakini lililo kuu miongoni mwa haya matatu ni upendo.

Romanos 5 Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
Capítulo 5
Mostrando versículos 2–5 de 21

2ambaye kupitia kwake tumepata kuifikia neema hii kupitia kwa imani, neema ambayo tunasimama ndani yake sasa. Nasi twafurahia katika tumaini letu la kushiriki utukufu wa Mungu.

4nayo saburi huleta uthabiti wa moyo, na uthabiti wa moyo huleta tumaini,

5wala tumaini halitukatishi tamaa, kwa sababu Mungu amekwisha kumimina pendo lake mioyoni mwetu kupitia kwa Roho wa Mungu ambaye ametupatia.

Provérbios 13 Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
Capítulo 13
Mostrando versículos 2–14 de 25

2Kutoka tunda la midomo yake, mtu hufurahia mambo mema,bali wasio waaminifu wanatamani sana jeuri.

12Kilichotarajiwa kikikawia kuja moyo huugua,bali tumaini lililotimizwa ni mti wa uzima.

14Mafundisho ya mwenye busara ni chemchemi ya uzima,ili kumwepusha mtu na mitego ya mauti.

Salmos 56 Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
Capítulo 56
Mostrando versículos 3–11 de 13

3Wakati ninaogopa,nitakutumaini wewe.

4Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu,katika Mungu ninatumaini, sitaogopa.Mwanadamu mwenye kufaatanitenda nini?

11katika Mungu ninatumaini, sitaogopa.Mwanadamu anaweza kunitenda nini?

Lamentações 3 Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
Capítulo 3
Mostrando versículos 21–29 de 66

21Hata hivyo najikumbusha neno hilina kwa hiyo ninalo tumaini.

26ni vyema kungojea kwa utulivukwa ajili ya wokovu wa Mwenyezi Mungu.

29Hata azike uso wake mavumbinibado tumaini litakuwepo.

Hebreus 6 Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
Capítulo 6
Mostrando versículos 11–19 de 20

11Nasi twataka kila mmoja wenu aoneshe bidii hiyo hiyo ili mpate kujua uhakika kamili wa lile tumaini hadi mwisho,

15Ibrahimu naye, baada ya kungoja kwa saburi, alipokea kile kilichoahidiwa.

19Tunalo tumaini hili kama nanga ya roho iliyo imara na thabiti. Tumaini hili huingia katika mahali patakatifu nyuma ya pazia,

Romanos 8 Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
Capítulo 8
Mostrando versículos 20–25 de 39

20Kwa kuwa viumbe vyote viliwekwa chini ya ubatili, si kwa chaguo lao, bali kwa mapenzi yake yeye aliyevitiisha katika tumaini,

24Kwa kuwa tuliokolewa kwa tumaini hili. Lakini kama kinachotumainiwa kikionekana, basi hakiwi tumaini tena. Je, kuna mtu anayetumaini kupata kitu alicho nacho tayari?

25Lakini tunapotumaini kupata kitu ambacho hatuna, basi twakingojea kwa saburi.

1 Crônicas 4 Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
Capítulo 4
Mostrando versículos 28–36 de 43

28Waliishi Beer-Sheba, Molada, Hasar-Shuali,

29Bilha, Esemu, Toladi,

36Pia Elioenai, Yaakoba, Yeshohaya,Asaya, Adieli, Yesimieli, Benaya,

Jó 6 Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
Capítulo 6
Mostrando versículos 11–20 de 30

11"Nina nguvu gani, hata niendelee kutumaini?Matazamio yangu ni nini,hata niendelee kuwa mvumilivu?

19Misafara ya Tema inatafuta maji,wafanyabiashara wa Sheba wanaosafirihutazama kwa matarajio.

20Wamedhikika, kwa sababu walikuwa na matumaini;wanafika huko, lakini wanahuzunikakwa kukosa walichotarajia.

Josué 18 Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
Capítulo 18
Mostrando versículos 23–27 de 28

23Avimu, Para na Ofra,

26Mispa, Kefira, Moza,

27Rekemu, Irpeeli, Tarala,

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-06-28_14-13-17-