Kanuni katika madaraka ya nyumbani
18 Ninyi wake, watiini waume zenu, kama inavyostahili katika Bwana Isa.
19 Ninyi waume, wapendeni wake zenu, wala msiwe wakali kwao.
18 Ninyi wake, watiini waume zenu, kama inavyostahili katika Bwana Isa.
19 Ninyi waume, wapendeni wake zenu, wala msiwe wakali kwao.