20 Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika mambo yote, kwa maana hii inampendeza Bwana Isa.
21 Ninyi akina baba, msiwachokoze watoto wenu, wasije wakakata tamaa.
20 Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika mambo yote, kwa maana hii inampendeza Bwana Isa.
21 Ninyi akina baba, msiwachokoze watoto wenu, wasije wakakata tamaa.