Pular para o conteúdo
Publicidade

Deuteronômio 33

12 Kuhusu Benyamini akasema:

"Mwache mpendwa wa Mwenyezi Mungu

apumzike salama kwake,

kwa maana humkinga mchana kutwa,

na yule Mwenyezi Mungu ampendaye

hupumzika kati ya mabega yake."

Veja também