11 Waliimba nyimbo za sifa na za shukrani kwa Mwenyezi Mungu hivi:
"Yeye ni mwema;
upendo wake kwa Israeli
wadumu milele."
Watu wote wakapaza sauti kubwa za sifa kwa Mwenyezi Mungu, kwa sababu msingi wa nyumba ya Mwenyezi Mungu ulikuwa umewekwa.
11 Waliimba nyimbo za sifa na za shukrani kwa Mwenyezi Mungu hivi:
"Yeye ni mwema;
upendo wake kwa Israeli
wadumu milele."
Watu wote wakapaza sauti kubwa za sifa kwa Mwenyezi Mungu, kwa sababu msingi wa nyumba ya Mwenyezi Mungu ulikuwa umewekwa.