Pular para o conteúdo
Publicidade

Efésios 5

25 Ninyi waume, wapendeni wake zenu, kama vile Al-Masihi alivyoipenda jumuiya ya waumini na akajitoa kwa ajili yake, 26 kusudi aifanye takatifu, akiitakasa kwa kuiosha kwa maji katika neno lake, 27 apate kujiletea jumuiya tukufu isiyo na doa wala kunyanzi au waa lolote, bali takatifu na isiyo na hatia.

Veja também