13 Musa akawajibu Waisraeli, "Msiogope. Simameni imara, nanyi mtauona wokovu Mwenyezi Mungu atakaowapatia leo. Hao Wamisri mnaowaona leo kamwe hamtawaona tena. 14 Mwenyezi Mungu atawapigania ninyi, nanyi mnatakiwa kutulia tu."
13 Musa akawajibu Waisraeli, "Msiogope. Simameni imara, nanyi mtauona wokovu Mwenyezi Mungu atakaowapatia leo. Hao Wamisri mnaowaona leo kamwe hamtawaona tena. 14 Mwenyezi Mungu atawapigania ninyi, nanyi mnatakiwa kutulia tu."