Publicidade

Êxodo 3

13 Musa akamwambia Mungu, "Ikiwa nitawaendea Waisraeli na kuwaambia, Mungu wa baba zenu amenituma kwenu,nao wakiniuliza, Jina lake ni nani?Nitawaambia nini?"

14 Mungu akamwambia Musa, "Mimi niko ambaye niko3:14 au Nitakuwa kama Nitakavyokuwa; au, Mimi Ndiye. Hivyo ndivyo utakavyowaambia Waisraeli: Mimi niko amenituma kwenu.’ "

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-