Pular para o conteúdo
Publicidade

Filipenses 2

Kuiga unyenyekevu wa Al-Masihi

1 Kama kukiwa na jambo lolote la kutia moyo katika kuunganishwa na Al-Masihi, kukiwa faraja yoyote katika upendo wake, kukiwa na ushirika wowote na Roho wa Mungu, kukiwa na wema wowote na huruma, 2 basi ikamilisheni furaha yangu kwa kuwa na nia moja, mkiwa na upendo huo moja, mkiwa wa roho na kusudi moja.

Veja também

Filipenses
Ver todos os capítulos de Filipenses