Pular para o conteúdo
Publicidade

Filipenses 2

6 Yeye, ingawa alikuwa na asili ya Mungu hasa,

hakuona kule kuwa sawa na Mungu

kuwa kitu cha kushikilia,

7 bali alijifanya si kitu,

akachukua hali hasa ya mtumwa,

naye akazaliwa katika umbo la mwanadamu.

8 Naye akiwa na umbo la mwanadamu,

alijinyenyekeza, akatii hata mauti:

naam, mauti ya msalaba!

Veja também

Filipenses
Ver todos os capítulos de Filipenses