Pular para o conteúdo
Publicidade

Gênesis 11

Mnara wa Babeli

1 Wakati huo dunia yote ilikuwa na lugha moja na msemo mmoja.

9 Ndiyo maana pakaitwa Babeli, kwa sababu hapo ndipo Mwenyezi Mungu alipoivuruga lugha ya dunia nzima. Kutoka hapo Mwenyezi Mungu akawatawanya duniani kote.

Veja também