Mnara wa Babeli
1 Wakati huo dunia yote ilikuwa na lugha moja na msemo mmoja.
9 Ndiyo maana pakaitwa Babeli, kwa sababu hapo ndipo Mwenyezi Mungu alipoivuruga lugha ya dunia nzima. Kutoka hapo Mwenyezi Mungu akawatawanya duniani kote.
1 Wakati huo dunia yote ilikuwa na lugha moja na msemo mmoja.
9 Ndiyo maana pakaitwa Babeli, kwa sababu hapo ndipo Mwenyezi Mungu alipoivuruga lugha ya dunia nzima. Kutoka hapo Mwenyezi Mungu akawatawanya duniani kote.