16 Bwana Mwenyezi Mungu akamwagiza huyo mtu, akamwambia, "Uko huru kula matunda ya mti wowote katika bustani; 17 lakini kamwe usile matunda ya mti wa kujua mema na mabaya, kwa maana siku utakapokula matunda yake, hakika utakufa."
16 Bwana Mwenyezi Mungu akamwagiza huyo mtu, akamwambia, "Uko huru kula matunda ya mti wowote katika bustani; 17 lakini kamwe usile matunda ya mti wa kujua mema na mabaya, kwa maana siku utakapokula matunda yake, hakika utakufa."