15 Maji yalipokwisha kwenye kiriba, Hajiri akamwacha kijana chini ya kichaka. 16 Kisha akaenda akaketi kama umbali wa kutupa mshale, akawaza, "Siwezi kumwangalia kijana akifa." Akiwa ameketi pale, akaanza kulia kwa huzuni.
15 Maji yalipokwisha kwenye kiriba, Hajiri akamwacha kijana chini ya kichaka. 16 Kisha akaenda akaketi kama umbali wa kutupa mshale, akawaza, "Siwezi kumwangalia kijana akifa." Akiwa ameketi pale, akaanza kulia kwa huzuni.