23 Mwenyezi Mungu akamjibu,
"Mataifa mawili yamo tumboni mwako,
na mataifa hayo mawili
kutoka ndani yako watatenganishwa.
Mmoja atakuwa na nguvu kuliko mwingine,
na yule mkubwa atamtumikia yule mdogo."
23 Mwenyezi Mungu akamjibu,
"Mataifa mawili yamo tumboni mwako,
na mataifa hayo mawili
kutoka ndani yako watatenganishwa.
Mmoja atakuwa na nguvu kuliko mwingine,
na yule mkubwa atamtumikia yule mdogo."