20 Kisha Yakobo akaweka nadhiri, akisema, "Mungu akiwa pamoja nami na kunilinda katika safari hii, akinipa chakula nile na nguo nivae, 22 Nalo jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu, na katika yote utakayonipa nitakutolea sehemu ya kumi."