Kaini na Habili
1 Adamu akakutana kimwili na mkewe Hawa, naye akapata mimba, akamzaa Kaini. Hawa akasema, "Kwa msaada wa Mwenyezi Mungu nimemzaa mtoto wa kiume."
1 Adamu akakutana kimwili na mkewe Hawa, naye akapata mimba, akamzaa Kaini. Hawa akasema, "Kwa msaada wa Mwenyezi Mungu nimemzaa mtoto wa kiume."