6 Yusufu alipowajia asubuhi yake, akawaona kwamba walikuwa na huzuni. 7 Ndipo Yusufu akawauliza maafisa hao wa Farao waliokuwa chini ya ulinzi pamoja naye nyumbani mwa bwana wake hivi, "Mbona nyuso zenu zimejaa huzuni leo?"
6 Yusufu alipowajia asubuhi yake, akawaona kwamba walikuwa na huzuni. 7 Ndipo Yusufu akawauliza maafisa hao wa Farao waliokuwa chini ya ulinzi pamoja naye nyumbani mwa bwana wake hivi, "Mbona nyuso zenu zimejaa huzuni leo?"