Pular para o conteúdo
Publicidade

Mwanzo 41

38 Hivyo Farao akawauliza, "Je, tunaweza kumpata yeyote kama mtu huyu, aliye na Roho wa Mungu ndani yake?"

39 Ndipo Farao akamwambia Yusufu, "Maadamu Mungu amekufunulia haya yote, hakuna yeyote mwenye akili na hekima kama wewe.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também