Publicidade

Gênesis 7

7 Nuhu na mkewe, na wanawe na wake zao, wakaingia katika safina ili waepuke ile gharika. 8 Jozi ya wanyama walio safi na walio najisi, ndege na viumbe vinavyotambaa ardhini, 9 wa kiume na wa kike, walikuja kwa Nuhu, wakaingia katika safina kama Mungu alivyomwamuru Nuhu. 10 Baada ya siku saba, maji ya gharika yakaja juu ya dunia.

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-