Pular para o conteúdo
Publicidade

Waebrania 11

24 Kwa imani, Musa alipokuwa mtu mzima, alikataa kuitwa mwana wa binti Farao. 25 Akachagua kupata mateso pamoja na watu wa Mungu, kuliko kujifurahisha kwa anasa za dhambi kwa muda mfupi.

Veja também