6 kwa sababu Mwenyezi Mungu huwaadibisha wale anaowapenda,
na humwadhibu kila mmoja
anayemkubali kuwa mwana."
7 Vumilieni taabu kwa ajili ya kufunzwa adabu. Mungu anawatendea ninyi kama watoto wake, kwa maana ni mtoto yupi asiyeadibishwa na mzazi wake?