Onyo dhidi ya kutokuamini
7 Kwa hiyo, kama Roho wa Mungu asemavyo:
"Leo, mkiisikia sauti yake,
8 msiifanye mioyo yenu migumu,
kama mlivyofanya katika uasi,
wakati ule wa kujaribiwa jangwani,
7 Kwa hiyo, kama Roho wa Mungu asemavyo:
"Leo, mkiisikia sauti yake,
8 msiifanye mioyo yenu migumu,
kama mlivyofanya katika uasi,
wakati ule wa kujaribiwa jangwani,