6 Nilizama chini sana hata pande za mwisho za milima,
makomeo ya hiyo nchi yalinifungia hata milele.
Lakini uliuleta uhai wangu kutoka shimoni,
Ee Mwenyezi Mungu, Mungu wangu.
7 "Uhai wangu ulipokuwa unatoka,
nilikukumbuka wewe, Mwenyezi Mungu,
nayo maombi yangu yalikufikia wewe,
katika Hekalu lako takatifu.