6 Alikuja mtu mmoja aliyetumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yahya. 7 Alikuja kama shahidi apate kuishuhudia hiyo nuru, ili kupitia kwake watu wote waweze kuamini.
6 Alikuja mtu mmoja aliyetumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yahya. 7 Alikuja kama shahidi apate kuishuhudia hiyo nuru, ili kupitia kwake watu wote waweze kuamini.