9 Nuru halisi inayomwangazia kila mtu ilikuwa inakuja ulimwenguni. 10 Huyo Neno alikuwako ulimwenguni, na ingawa ulimwengu uliumbwa kupitia kwake, haukumtambua.
9 Nuru halisi inayomwangazia kila mtu ilikuwa inakuja ulimwenguni. 10 Huyo Neno alikuwako ulimwenguni, na ingawa ulimwengu uliumbwa kupitia kwake, haukumtambua.