33 Isa alipomwona Mariamu akilia na wale Wayahudi waliokuja pamoja naye pia wakilia, Isa alisikia uchungu moyoni, akafadhaika sana. 34 Akauliza, "Mmemweka wapi?"
Wakamwambia, "Bwana, njoo upaone."
35 Isa akalia machozi.
33 Isa alipomwona Mariamu akilia na wale Wayahudi waliokuja pamoja naye pia wakilia, Isa alisikia uchungu moyoni, akafadhaika sana. 34 Akauliza, "Mmemweka wapi?"
Wakamwambia, "Bwana, njoo upaone."
35 Isa akalia machozi.