Pular para o conteúdo
Publicidade

Yohana 12

Isa aingia Yerusalemu kwa shangwe

12 Siku iliyofuata umati mkubwa wa watu waliokuwa wamekuja kwenye Sikukuu walisikia kwamba Isa angekuja Yerusalemu. 13 Basi wakachukua matawi ya mitende, wakatoka kwenda kumlaki, huku wakipaza sauti wakisema,

"Hosana!"12:13 Kiebrania kusema Okoa; basi likawa neno la shangwe.

"Amebarikiwa yeye ajaye kwa Jina la Mwenyezi Mungu!"

"Amebarikiwa mfalme wa Israeli!"

Veja também