13 Basi wakachukua matawi ya mitende, wakatoka kwenda kumlaki, huku wakipaza sauti wakisema,
"Hosana!"12:13 Kiebrania kusema Okoa; basi likawa neno la shangwe.
"Amebarikiwa yeye ajaye kwa Jina la Mwenyezi Mungu!"
"Amebarikiwa mfalme wa Israeli!"
13 Basi wakachukua matawi ya mitende, wakatoka kwenda kumlaki, huku wakipaza sauti wakisema,
"Hosana!"12:13 Kiebrania kusema Okoa; basi likawa neno la shangwe.
"Amebarikiwa yeye ajaye kwa Jina la Mwenyezi Mungu!"
"Amebarikiwa mfalme wa Israeli!"