2 Nyumbani mwa Baba14:2 Jina Baba linaonesha uhusiano maalum wa Isa na Mwenyezi Mungu. Kwa mwanadamu, Mwenyezi Mungu ni Baba kupitia uhusiano unaopatikana katika kumtumaini Isa Al-Masihi. yangu kuna makao mengi. Kama sivyo, ningewaambia. Naenda kuwaandalia makao.
Publicidade