Pular para o conteúdo
Publicidade

João 14

Isa ndiye njia ya kwenda kwa Baba

5 Tomaso akamwambia, "Bwana, sisi hatujui unakoenda, tutaijuaje njia?"

6 Isa akawaambia, "Mimi ndimi njia na kweli na uzima. Mtu hawezi kuja kwa Baba isipokuwa kupitia kwangu.

Veja também