Isa ndiye njia ya kwenda kwa Baba
5 Tomaso akamwambia, "Bwana, sisi hatujui unakoenda, tutaijuaje njia?"
6 Isa akawaambia, "Mimi ndimi njia na kweli na uzima. Mtu hawezi kuja kwa Baba isipokuwa kupitia kwangu.
5 Tomaso akamwambia, "Bwana, sisi hatujui unakoenda, tutaijuaje njia?"
6 Isa akawaambia, "Mimi ndimi njia na kweli na uzima. Mtu hawezi kuja kwa Baba isipokuwa kupitia kwangu.