Publicidade

João 19

4 Pilato akatoka tena nje, akawaambia wale waliokusanyika, "Tazameni, namkabidhi Isa kwenu kuwajulisha kwamba mimi sioni msingi wowote wa kumshtaki." 5 Kwa hiyo Isa akatoka nje akiwa amevaa lile taji la miiba na lile vazi la zambarau. Pilato akawaambia, "Tazameni, mtu ndiye huyu!"

6 Wale viongozi wa makuhani na maafisa walipomwona, wakapiga kelele wakisema, "Msulubishe! Msulubishe!"

Pilato akawaambia, "Mchukueni ninyi mkamsulubishe. Lakini mimi sioni msingi wowote wa kumshtaki."

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-